❞ كتاب Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝  ⏤ أبو أمينة بلال فيليبس

❞ كتاب Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝ ⏤ أبو أمينة بلال فيليبس

Yaliyomo:
• Ni Ipi?
• Jina La Dini
• Mwenyezi Mungu Na Uumbaji
• Ujumbe Wa Dini Za Uwongo
• Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima
• Kumtambua Mwenyezi Mungu.
• Dalili Za Mwenyezi Mungu.
• Hitimisho


ila mtu huzaliwa katika mazingira au hali ambayo si chaguo
lake mwenyewe. Hupachikwa dini ya familia yake au
mtazamo wa taifa lake toka mwanzoni mwa kuwepo kwake
katika dunia hii. Wakati anapofikia ujana wa (miaka 13 – 20), kwa
kawaida hulazimika kuamini kwamba imani ya jamii yake ndiyo
imani sahihi ambayo kila mtu anapaswa kuwa nayo. Ingawa wakati
fulani baadhi ya watu wanapokuwa wakubwa na wakaona imani
nyingine huanza kuuliza na kuhoji ukweli wa imani yao. Wale
wanaotafuta ukweli mara kwa mara hufikia mahali
wakachanganyikiwa wanapogundua kwamba kila dini, dhehebu, au
falsafa hudai ndio njia pekee iliyo sahihi kwa mwanadamu, kwani
makundi yote hayo yanahamasisha watu kufanya matendo mema.
Sasa ni ipi imani sahihi? Zote haziwezi kuwa sahihi, kwani kila moja
hudai kuwa nyingine zote si sahihi. Sasa katika hali hiyo, yule
anayetafuta ukweli vipi ataweza kuchagua njia iliyosahihi?
Mwenyezi Mungu ametupa sote akili na uwezo wa kutuwezesha
kufanya maamuzi sahihi na ya maana. Nayo ni maamuzi muhimu sana
katika maisha ya mwanadamu. Mustakabali wake unautegemea uamuzi huo,
kufuatana na hilo, kila mmoja wetu lazima achunguze ushahidi
uliotolewa bila kupendelea ndipo achague kile kinachoonekana kuwa
ni sahihi mpaka pale ushahidi mwingine utakapotokea.
Kama ilivyo kwa kila dini au falsafa, Uislamu nao unadai kuwa huo
ndio njia ya pekee iliyo sahihi kuelekea kwa Mwenyezi Mungu.
Katika hali hiyo ya Uislamu kudai kuwa ni njia sahihi si tofauti na
mifumo mingine. Kijitabu hiki kinakusudia kukupa ushahidi juu ya
ukweli wa dai hilo. Hata hivyo, mara zote ni lazima izingatiwe
kwamba, mtu anaweza kuipata njia ya kweli kwa kuweka kando hisia
na chuki, vitu ambavyo mara kwa mara hutupofua tusiuone ukweli.
Kisha, baada ya kufanya hivyo tu, ndipo tutakapoweza kutumia akili
zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu kufanya maamuzi ya kiakili na
yaliyo sahihi?
Kuna hoja mbali mbali ambazo zinaweza kutolewa ili kulipa nguvu
dai la Kiislamu kuwa ndio dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu.
أبو أمينة بلال فيليبس -
❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝ ❞ THE QURAN S NUMERICAL MIRACLE HOAX OR HERESY ❝ ❞ Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝ ❞ The Fundamental Principles of Qur’aanic Interpretation ❝ ❞ Usool At Tafseer ❝ ❞ Islamic Studies Book 1 ❝ ❞ Die Kategorien des Islamischen Monotheismus Tauhid ❝ ❞ THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH ❝ ❞ Fiqh of Fasting ❝ الناشرين : ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار نشر الاسلامية الدولية ❝ ❱
من كتب إسلامية باللغة السواحلية كتب إسلامية بلغات أخرى - مكتبة كتب إسلامية.

نبذة عن الكتاب:
Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu

Yaliyomo:
• Ni Ipi?
• Jina La Dini
• Mwenyezi Mungu Na Uumbaji
• Ujumbe Wa Dini Za Uwongo
• Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima
• Kumtambua Mwenyezi Mungu.
• Dalili Za Mwenyezi Mungu.
• Hitimisho


ila mtu huzaliwa katika mazingira au hali ambayo si chaguo
lake mwenyewe. Hupachikwa dini ya familia yake au
mtazamo wa taifa lake toka mwanzoni mwa kuwepo kwake
katika dunia hii. Wakati anapofikia ujana wa (miaka 13 – 20), kwa
kawaida hulazimika kuamini kwamba imani ya jamii yake ndiyo
imani sahihi ambayo kila mtu anapaswa kuwa nayo. Ingawa wakati
fulani baadhi ya watu wanapokuwa wakubwa na wakaona imani
nyingine huanza kuuliza na kuhoji ukweli wa imani yao. Wale
wanaotafuta ukweli mara kwa mara hufikia mahali
wakachanganyikiwa wanapogundua kwamba kila dini, dhehebu, au
falsafa hudai ndio njia pekee iliyo sahihi kwa mwanadamu, kwani
makundi yote hayo yanahamasisha watu kufanya matendo mema.
Sasa ni ipi imani sahihi? Zote haziwezi kuwa sahihi, kwani kila moja
hudai kuwa nyingine zote si sahihi. Sasa katika hali hiyo, yule
anayetafuta ukweli vipi ataweza kuchagua njia iliyosahihi?
Mwenyezi Mungu ametupa sote akili na uwezo wa kutuwezesha
kufanya maamuzi sahihi na ya maana. Nayo ni maamuzi muhimu sana
katika maisha ya mwanadamu. Mustakabali wake unautegemea uamuzi huo,
kufuatana na hilo, kila mmoja wetu lazima achunguze ushahidi
uliotolewa bila kupendelea ndipo achague kile kinachoonekana kuwa
ni sahihi mpaka pale ushahidi mwingine utakapotokea.
Kama ilivyo kwa kila dini au falsafa, Uislamu nao unadai kuwa huo
ndio njia ya pekee iliyo sahihi kuelekea kwa Mwenyezi Mungu.
Katika hali hiyo ya Uislamu kudai kuwa ni njia sahihi si tofauti na
mifumo mingine. Kijitabu hiki kinakusudia kukupa ushahidi juu ya
ukweli wa dai hilo. Hata hivyo, mara zote ni lazima izingatiwe
kwamba, mtu anaweza kuipata njia ya kweli kwa kuweka kando hisia
na chuki, vitu ambavyo mara kwa mara hutupofua tusiuone ukweli.
Kisha, baada ya kufanya hivyo tu, ndipo tutakapoweza kutumia akili
zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu kufanya maamuzi ya kiakili na
yaliyo sahihi?
Kuna hoja mbali mbali ambazo zinaweza kutolewa ili kulipa nguvu
dai la Kiislamu kuwa ndio dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu. .
المزيد..

تعليقات القرّاء:

 Yaliyomo:
 • Ni Ipi?
 • Jina La Dini
 • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji
 • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo
 • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima
 • Kumtambua Mwenyezi Mungu.
 • Dalili Za Mwenyezi Mungu.
 • Hitimisho


ila mtu huzaliwa katika mazingira au hali ambayo si chaguo
lake mwenyewe. Hupachikwa dini ya familia yake au
mtazamo wa taifa lake toka mwanzoni mwa kuwepo kwake
katika dunia hii. Wakati anapofikia ujana wa (miaka 13 – 20), kwa
kawaida hulazimika kuamini kwamba imani ya jamii yake ndiyo
imani sahihi ambayo kila mtu anapaswa kuwa nayo. Ingawa wakati
fulani baadhi ya watu wanapokuwa wakubwa na wakaona imani
nyingine huanza kuuliza na kuhoji ukweli wa imani yao. Wale
wanaotafuta ukweli mara kwa mara hufikia mahali
wakachanganyikiwa wanapogundua kwamba kila dini, dhehebu, au
falsafa hudai ndio njia pekee iliyo sahihi kwa mwanadamu, kwani
makundi yote hayo yanahamasisha watu kufanya matendo mema.
Sasa ni ipi imani sahihi? Zote haziwezi kuwa sahihi, kwani kila moja
hudai kuwa nyingine zote si sahihi. Sasa katika hali hiyo, yule
anayetafuta ukweli vipi ataweza kuchagua njia iliyosahihi?
Mwenyezi Mungu ametupa sote akili na uwezo wa kutuwezesha
kufanya maamuzi sahihi na ya maana. Nayo ni maamuzi muhimu sana
katika maisha ya mwanadamu. Mustakabali wake unautegemea uamuzi huo,
kufuatana na hilo, kila mmoja wetu lazima achunguze ushahidi
uliotolewa bila kupendelea ndipo achague kile kinachoonekana kuwa
ni sahihi mpaka pale ushahidi mwingine utakapotokea.
Kama ilivyo kwa kila dini au falsafa, Uislamu nao unadai kuwa huo
ndio njia ya pekee iliyo sahihi kuelekea kwa Mwenyezi Mungu.
Katika hali hiyo ya Uislamu kudai kuwa ni njia sahihi si tofauti na
mifumo mingine. Kijitabu hiki kinakusudia kukupa ushahidi juu ya
ukweli wa dai hilo. Hata hivyo, mara zote ni lazima izingatiwe
kwamba, mtu anaweza kuipata njia ya kweli kwa kuweka kando hisia
na chuki, vitu ambavyo mara kwa mara hutupofua tusiuone ukweli.
Kisha, baada ya kufanya hivyo tu, ndipo tutakapoweza kutumia akili
zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu kufanya maamuzi ya kiakili na
yaliyo sahihi?
Kuna hoja mbali mbali ambazo zinaweza kutolewa ili kulipa nguvu
dai la Kiislamu kuwa ndio dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu.



حجم الكتاب عند التحميل : 87.2 كيلوبايت .
نوع الكتاب : pdf.
عداد القراءة: عدد قراءة Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu

اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu
شكرًا لمساهمتكم

شكراً لمساهمتكم معنا في الإرتقاء بمستوى المكتبة ، يمكنكم االتبليغ عن اخطاء او سوء اختيار للكتب وتصنيفها ومحتواها ، أو كتاب يُمنع نشره ، او محمي بحقوق طبع ونشر ، فضلاً قم بالتبليغ عن الكتاب المُخالف:

برنامج تشغيل ملفات pdfقبل تحميل الكتاب ..
يجب ان يتوفر لديكم برنامج تشغيل وقراءة ملفات pdf
يمكن تحميلة من هنا 'http://get.adobe.com/reader/'

المؤلف:
أبو أمينة بلال فيليبس - Abu Ameenah Bilal Philips

كتب أبو أمينة بلال فيليبس ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo ❝ ❞ THE QURAN S NUMERICAL MIRACLE HOAX OR HERESY ❝ ❞ Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu ❝ ❞ The Fundamental Principles of Qur’aanic Interpretation ❝ ❞ Usool At Tafseer ❝ ❞ Islamic Studies Book 1 ❝ ❞ Die Kategorien des Islamischen Monotheismus Tauhid ❝ ❞ THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH ❝ ❞ Fiqh of Fasting ❝ الناشرين : ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار نشر الاسلامية الدولية ❝ ❱. المزيد..

كتب أبو أمينة بلال فيليبس

كتب شبيهة بـ Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu:

قراءة و تحميل كتاب Sembilan Nasehat Buat Anda Yang Menunaikan Ibadah Haji Dan Umrah PDF

Sembilan Nasehat Buat Anda Yang Menunaikan Ibadah Haji Dan Umrah PDF

قراءة و تحميل كتاب Sembilan Nasehat Buat Anda Yang Menunaikan Ibadah Haji Dan Umrah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Menghibur Hati Yang Gundah PDF

Menghibur Hati Yang Gundah PDF

قراءة و تحميل كتاب Menghibur Hati Yang Gundah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Sharh Aqeedah al Tahawiyyah PDF

Sharh Aqeedah al Tahawiyyah PDF

قراءة و تحميل كتاب Sharh Aqeedah al Tahawiyyah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Riyadh Saaliheen Cấm Sự Bất C ocirc ng amp Lệnh Phải Trả Lại C ocirc ng Bằng PDF

Riyadh Saaliheen Cấm Sự Bất C ocirc ng amp Lệnh Phải Trả Lại C ocirc ng Bằng PDF

قراءة و تحميل كتاب Riyadh Saaliheen Cấm Sự Bất C ocirc ng amp Lệnh Phải Trả Lại C ocirc ng Bằng PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF

Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF

قراءة و تحميل كتاب Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF

Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF

قراءة و تحميل كتاب Namna ya swala ya mtume saw na Namna ya kutawadha PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF

Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF

قراءة و تحميل كتاب Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF مجانا